La zamani bhana chupa kubwa kuipiga ilikuwa hadi tonic au kalimao kidogo....ila la sasa lile la 750mls nalipiga bila kichanganyio na linaenda smoothly kabisa. au nina pressure ya maisha jamani?
DAH! HIYO NDIYO KONYAGI
Hili goma bana toka limeingia sokoni kwakweli binafsi naliona tofauti kabisa....sijui wenzangu mnasemaje?
La zamani bhana chupa kubwa kuipiga ilikuwa hadi tonic au kalimao kidogo....ila la sasa lile la 750mls nalipiga bila kichanganyio na linaenda smoothly kabisa. au nina pressure ya maisha jamani?
La zamani bhana chupa kubwa kuipiga ilikuwa hadi tonic au kalimao kidogo....ila la sasa lile la 750mls nalipiga bila kichanganyio na linaenda smoothly kabisa. au nina pressure ya maisha jamani?
0 maoni :
Chapisha Maoni