Man united hali bado tete,
Leicester City wakicheza katika dimba lao la king power walichomoza na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Sunderland kwa mabao ya Islam Slimani na Jamie Vardy.

Nao Burnley wakataka nyumbani kwa ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Stoke City Jj
0 maoni :
Chapisha Maoni